Tunamkaribisha mkuu wa mkoa wa Maniema. MUSSA KABWANKUBI MOÏSE anapigana vita dhidi ya shule zinazojengwa kwa majani na vibanda katika jimbo lake. Amekabidhi mabati 11,000 kwa shule katika tarafa 19 katika mikoa miwili ya elimu ya Maniema kama sehemu ya ada ya mshikamano wa shule. MUSSA KABWANKUBI MOÏSE anazungumza na Florence KIZA LUNGA.
MUSSA KABWANKUBI MOÏSE : Kiisha miaka tano tusikuwe tena na masomo ya nyasi wala ya magungu kati ya jimbo la Maniema
Recent Post
Community-Led Initiative Revives Kam Language in Nigeria
August 3, 2026
Nigerian Girls at Lagos Football Club Dream of WAFCON Glory
August 3, 2026
New US Visa Bond Rule Impacts 30 African Nations
August 3, 2026