Tunamkaribisha kama mgeni wetu Bwana Godefroid Misenga Milabyo. Yeye ndiye katibu mtendaji wa kamati ya uongozi na elekezi ya mageuzi ya fedha za umma, COREF. Kama unavyojua, timu ya COREF iko Maniema kusaidia jimbo hili katika mageuzi ya fedha za umma, kama ilivyoombwa na Gavana wa Maniema, Mussa Kabwankubi Moise. Mgeni wetu Godefroid Misenga Milayo akiongea na Florence Kiza Lunga.
Godefroid Misenga Milabyo : Franga yote itumike kwa vipaumbele vya jimbo
Recent Post
Community-Led Initiative Revives Kam Language in Nigeria
August 3, 2026
Nigerian Girls at Lagos Football Club Dream of WAFCON Glory
August 3, 2026
New US Visa Bond Rule Impacts 30 African Nations
August 3, 2026