Ambroise Basizi Risasi ni mstaafu kutoka kiwanda cha saruji cha Interlac huko Kabimba, jimbo la Tanganyika. Mtindo wake wa maisha umekuwa wa mgumu kupita kiasi tangu kuzuka kwa vita vilivyosababisha kukaliwa kwa mji wa Bukavu na waasi wa AFC-M23. Tangu wakati huo, CNSS haijamlipa pensheni yake ya kustaafu kwa robo ya kwanza ya 2025. Anasimulia huzuni yake kwenye Redio Okapi.
Ambroise Basizi Risasi: Tuko wengi sana wale bado hawajapokea pesa yao kidogo kutoka kwa CNSS
Recent Post
Community-Led Initiative Revives Kam Language in Nigeria
August 3, 2026
Nigerian Girls at Lagos Football Club Dream of WAFCON Glory
August 3, 2026
New US Visa Bond Rule Impacts 30 African Nations
August 3, 2026