Ambroise Basizi Risasi ni mstaafu kutoka kiwanda cha saruji cha Interlac huko Kabimba, jimbo la Tanganyika. Mtindo wake wa maisha umekuwa wa mgumu kupita kiasi tangu kuzuka kwa vita vilivyosababisha kukaliwa kwa mji wa Bukavu na waasi wa AFC-M23. Tangu wakati huo, CNSS haijamlipa pensheni yake ya kustaafu kwa robo ya kwanza ya 2025. Anasimulia huzuni yake kwenye Redio Okapi.
Ambroise Basizi Risasi: Tuko wengi sana wale bado hawajapokea pesa yao kidogo kutoka kwa CNSS
Recent Post
BRICS Nations Gear Up for the Launch of BRICS Pay
September 11, 2026
Pan-African Payment and Settlement System Expands Network Across Africa
September 11, 2026
Nuclear Agency Refers Iran To UN Security Council
September 10, 2026
Record Number of Attacks on Education, Global Fund Warns
September 9, 2026